Qur’an si gumzo la lugha au kundi fulani, bali ni muongozo na ponyo ya kila moyo wenye imani.
Na mwenye kuipuuza atabaki masafa marefu kati yake na haki, masafa ambayo hayafikiki.
MAZINGATIO:
Qur’an ni muongozo wa walimwengu.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi