Na wale (wenye akili ndio) ambao huyaunga aliyoamrisha Allah yaungwe, na wanaihofu hesabu mbaya
Tazama kadi
Na (kumbukeni) Tulipochukua ahadi kwa Wana wa Israeli kwamba, hamtamuabudu yeyote Ila Allah tu, na mtawatendea wema wazazi, na ndugu na yatima na maskini, na mseme na watu kwa maneno mazuri. Na simamisheni Swala na toeni Zaka, kisha mkakengeuka isipokuwa wachache tu kati yenu, na ilhali nyinyi mnapuuza
Waambie waja wangu waseme maneno mazuri, maana Shetani huchochea ugomvi baina yao. Hakika Shetani ni adui aliye dhaahiri kwa mwanaadamu
Wanafiki watakuwa katika tabaka la chini kabisa Motoni, kwa sababu ya mioyo yao kuficha ukafiri na kudhihirisha imani kwa uongo. Basi, Waislamu wawe na tahadhari kubwa ya kujionesha na kufanya unafiki katika maneno na matendo. Na ni wajibu kuwa na nia ya kweli na kushikamana na imani kwani ndiyo msingi mkuu wa maisha yetu. Tunachojifunza: Tahad...
Sema: Fadhila za Allah na rehema zake, basi wafurahie hayo. Hilo ni bora zaidi kwao kuliko wanavyovikusanya
Na wajizuilie na machafu wale wasiopata cha kuolea, mpaka Allah awatajirishe kwa fadhila yake. Na wanao taka kuandikiwa uhuru katika wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki, basi waandikieni kama mkiona wema kwao. Na wapeni katika mali ya Allah aliyo kupeni. Wala msiwashurutishe vijakazi wenu kufanya zina kwa ajili ya kutafuta pato la maisha ya...
Allah Mtukufu ndiye Mjuzi wa viumbe wake, Mjuzi wa kila kitu alicho kiumba, naye ni Mpole, Mwenye khabari za hali zote za kila kiumbe. Basi tujue kuwa hakuna ponyo wala raha isipo kuwa kutoka kwake tu, na ni wajibu wetu kuwa na yakini na hekima zake na rehema zake katika kila jambo. Tunachojifunza: Ujuzi wa Allah juu ya viumbe wake ni mk...