“Hakika Allah yu pamoja na wanao subiri
Tazama kadi
Katika kipindi cha upweke au hofu, Qur’an inazungumza jinsi Allah alivyo karibu na mwanaadam, hivyo asikate tamaa na rehema zake!
“Naye yupo pamoja nanyi popote mlipo
Baadhi ya ushindi hauji kwa haraka. Na katika maisha hli ni hivyo hivyo, subira ni sehemu ya safari ya mafanikio.
Nyuma ya nguvu tunazoziona kwenye michezo mbali mbali, kuna mwanadam anaye choka na kuwa na hofu na kudhoofika. Na Qur’an inamzungumzia mwanadam katika hali ukweli na huruma kuhusu maumbile yake.
“Je! Mlidhani ya kwambatulikuumbeni bure tu
Kila mashindano duniani yana lengo maalumu. Je,inawezekanaje kiakili iwe maisha ya mwanaadam pekee hapa duniani yawe bila maana (lengo)?