Enyi Watu wa Kitabu, kwa hakika kabisa, amekujieni Mtume wetu (MOhamead) ."
Enyi Watu wa Kitabu, kwa hakika kabisa, amekujieni Mtume wetu (MOhamead) akikuwekeeni wazi mengi mliyokuwa mkiyaficha katika Kitabu (Taurati na Injili) na akisamehe mengi. Bila shaka, imekujiieni nuru kutoka kwa Allah na Kitabu kinachobainisha
Kwa (Kitabu) hicho Allah anamuongoza anayefuata radhi zake katika njia za amani na anawatoa katika viza (na) kuwapeleka kwenye nuru kwa idhini yake, na anawaongoza kwenye njia iliyonyooka
703
Video zenye uhusiano
Tazama video nyingine kuhusu mada hiyo hiyo