Nyumba si kuta tu, bali ni mjumuiko wa uwanda wa amani na utulivu wa watu wake.
Kwa ajili hiyo, Uisalmu umeweka utaratibu wa kuomba idhini ya kuingia katika majumba kwa ajili ya usalama na kulinda haki maalumu za wakazi na kuleta heshima.
MAZINGATIO:
Adabu za kuomba idhini ni katika mambo matukufu ya Uislamu
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi