Je, kwani hatukuifanya ardhi (kama) tandiko? Na milima kuwa (kama) vigingi? Na Tukakuumbeni kwa jozi; (wanaume na wanawake)? Na tukafanya kulala kwenu ni mapumziko? Na tukaufanya usiku (ni kama) nguo (ya kukufunikeni)? Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia [kutafuta] maisha? [Naba’i: 7-11]
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi