Wakati kifua chako kinapopata dhiki na ukawa hujui ni ipi sababu ya machungu ya dhiki hiyo,yaliyomo ndani yake, basi Qur’an inakuja kukupa suluhisho lake na si kukukaripia.
Bali inakuponya maradhi yote uliyo nayo yasiyo onekana kwa macho wala fikra za kawaida.
MAZINGATIO:
Qur’an ni ponyo la nyoyo
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi