Majadiliano katika uislamu siyo vita, bali ni wito wa kuziweka pamoja akili na nyoyo ili kuungana katika mwanga wa haki.
Mwenye kuamini na kushikamana na hekima, basi ataamini na kutambua kuwa maneno mazuri ndiyo yenye nguvu kuliko silaha.
MAZINGATIO:
Kujenga daraja la majadiliano ndiyo adabu nzuri ya kuondoa ikhitalafu
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi