Mwenye kuyaweka maisha yake kwa Allah, hato babaika na changamoto yoyote ya maisha , wala ukafiri wowote wa makafiri.
Uhuru wa kweli ni wewe kujua kuwa marejeo yako yapo kwa Allah tu pekee.
MAZINGATIO:
Uhuru wa moyo ndiyo huleta mwisho mwema.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi