Kuomba idhini ya kuingia katika nyumba si tabia tu ya kijamii, bali ni malezi ya kiimani yanayo takiwa kuwafundisha watoto namna ya kuheshimu watu wengine tangu utotoni mwao.
MAZINGATIO:
Kushikamana na tabia za kiislamu ni njia ya wokovu.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi