Ndoa katika Uislamu imesimama juu ya misingi ya usafi na heshima, na si juu ya misingi ya upuuzi na matamanio holela.
Ni mkataba wa kimajukumu unao linda heshima na kutimiza haki.
MAZINGATIO:
Ndoa ni jukumu la kusimamia haki na utekelezaji wa thamani ya uislamu
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi