Na Hakika Tumeirahisisha Qur’an Kwa Ajili Ya Ukumbusho Je Kuna Mwenye kukumbuka?
Kina ‘Aad walikadhibisha, basi vipi ilikuwa adhabu Yangu na maonyo Yangu?
Hakika Sisi Tumewapelekea upepo wa kimbunga wenye sauti kali na baridi kali katika siku korofi yenye kuendelea mfululizo
Unawang’oa watu kana kwamba vigogo vya mtende vilong’olewa
Basi vipi ilikuwa adhabu Yangu na maonyo Yangu?
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi