Mwenye kuzuia mkono wake kwa kutofanya

Mwenye kuzuia mkono wake kwa kutofanya

Mwenye kuzuia mkono wake kwa kutofanya

16 15

Mwenye kuzuia mkono wake kwa kutofanya kheri na akafanya maovu, basi huyo ndio aliye msahau Allah.

Malipo yake naye atatelekezwa na Allah katika mambo yake na shida zake.

tujaalie katika watu wenye kutenda mema na utiifu.MAZINGATIO:Umuhimu wa kulingania katika kheri na utiifu.

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki