Mwenye kulingania katika dini ya Allah na akatenda

Mwenye kulingania katika dini ya Allah na akatenda

Mwenye kulingania katika dini ya Allah na akatenda

12 11

Mwenye kulingania katika dini ya Allah na akatenda mema, ni mtu aliye karibu sana na watu na anaye jikurubisha kwa Allah.

Kupitia ulinganiaji wake jamii huongoka na baraka huenea.

tujaalie tuwe miongoni mwa watu hao.

Ewe Allah!MAZINGATIO:Katika mambo muhimu ya imani ni kulingania katika dini ya Allah.

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki