“Kisha kwa Mola wenu Mlezi mtarejeshwa
Tazama kadi
Kila mashindano duniani yana lengo maalumu. Je,inawezekanaje kiakili iwe maisha ya mwanaadam pekee hapa duniani yawe bila maana (lengo)?
Qur’an haimzingatii mwanaadam kwa namba tu ya kuhesabika katika huu ulimwengu, bali inamzingatia kuwa ni kiumbe mwenye lengo maalumu la kuumbwa kwake na mwenye ujumbe maalumu
“Naye yupo pamoja nanyi popote mlipo
“Na mwanadam ameumbwa dhaifu
Ulimwengu unawafauatilia wachezaji katika kombe la dunia. Lakini Qur’an inakutaka ujiangalie wewe mwenyewe kwanza.
Mwanaadam ni kiumbe wa thamani ambaye haitakiwi kudharauliwa kwa utu wake, au rangi yake au mji wake. Thamani yake ni kubwa kuliko kitu chochote kinachoundwa