Na miongoni mwa watu kuna wanaofanya washirika badala ya."
Na miongoni mwa watu kuna wanaofanya washirika badala ya (kumuamini) Allah (pekee); wanawapenda kama wampendavyo Allah. Na walioamini wanampenda zaidi Allah. Na laiti waliodhulumu wangejua watakapoiona adhabu kwamba, nguvu zote ni za Allah, na kwamba, Allah ni mkali wa kuadhibu
129
Video zenye uhusiano
Tazama video nyingine kuhusu mada hiyo hiyo