Mtu Mmoja kama Taifa : Wakati Mtu Mmoja Anaumba Athari ya Ummah Wote

Katika nyakati ngumu zenye changamoto, watu wakweli hudhihirika, mtu asiye julikana jina lake, lakini mtazamo wake (nia yake njema) ulimuokoa Nabii.

Mtu Mmoja kama Taifa

Lau katika uma zilizo pita kusingekuwa na watu wanao kataza uovu katika miji, basi wange angamizwa wote, lakini Allah aliwaokoa wachache miongoni mwao ambao walikuwa wakikataza maovu.
Ewe Allah! Tujaalie katika wenye kufanya vizuri.

Aya