Je, haujafika wakati kwa walioamini."

Je, haujafika wakati kwa walioamini."

Je, haujafika wakati kwa walioamini kwamba zinyenyekee nyoyo zao kwa kumuabudu Allah na yale yaliyoteremka ya haki, na wala wasiwe kama wale waliopewa Kitabu kabla ya hapo, na ukarefuka juu yao muda, kisha zikawa ngumu nyoyo zao? Na wengi miongoni mwao ni mafasiki

1025
Video Translations
Kupakua
  • Hd Version ( Google Drive )
Viambatanisho

Shiriki