Na lau tungelifanya Qur’ani kwa lugha ya kigeni wangelisema:

Na lau tungelifanya Qur’ani kwa lugha ya kigeni wangelisema:

Na lau tungelifanya Qur’ani kwa lugha ya kigeni wangelisema: Kwanini Aya zake hazikupambanuliwa? Yawaje lugha ya kigeni na Mtume Mwaarabu? Sema: Hii Qur’ani ni uongofu na ponyo kwa wenye kuamini. Na wasio amini umo uziwi katika masikio yao, nayo kwao imezibwa hawaioni. Hao wanaitwa nao wako pahala pa mbali

846
Video Translations
Kupakua
  • Hd Version ( Google Drive )
Viambatanisho

Shiriki