Siyo kila hakika huonwa kwa macho. Kuna viumbe vilivyo kamilika vina fanya kazi kwa idhini ya Allah bila ya wewe kuvihisi. Utulivu unao utafuta mara kwa mara, unaweza kuwa upo karibu yako bila ya wewe mwenyewe kutegemea.MAZINGATIO: Kuamini ghaibu ni nuru ya Qur’an
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi