Tazama vizuri! Dini (ya Uislamu ni dini) inayomtengeneza mtu awe ni mwenye kukusanya nguvu na huruma na ibada. Siyo kulazimisha! Bali ni mizani ya uadilifu isiyo weza kutengenezwa na mtu yeyote!.MAZINGATIO: Kupima mambo kwa uadilifu ni nuru ya Qur’an
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi