Hata usipo weza kufikia jambo, basi nia yako tu itakunyanyua! Lakini ukiweza kuhangaika na kujitoa muhanga katika kheri, basi malipo yako yatakuwa makubwa zaidi ya unavyo fikiria.MAZINGATIO: Kufanya matendo mema ni nuru ya Qur’an
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi