Siyo watu wote kuwa wapo sawa!Wapo wanao tosheka kwa kushuhudia, na wapo wanao fanya harakati mbali mbali na kujitoa muhanga.Na tofauti yao ni daraja zao mbele ya Allah tu.MAZINGATIO:Kuhangaika katika maisha ni nuru ya Qur’an
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi