Siyo kila kinachopendwa inatakiwa kukimbiliwa.
Bali ni wajibu kufanya upembuzi wa kina katika kukubali baadhi yake, na kutambua kuwa kumpenda Allah ni zawadi itokayo kwa Allah mwenyewe.
MAZINGATIO:
Kumpenda Allah ni zawadi itokayo kwake mwenyewe.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi