Kila nafsi itavuna ilicho chuma.
Na mateso ya duniani ni matokeo ya dhulma za mwanaadam kujidhulumu mwenyewe.
Allah hamdhulumu yeyote, lakini watu ndiyo wanaojidhulumu wenyewe.
MAZINGATIO:
Uadilifu wa Allah na hatari ya dhulma.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi