Nidhau ya kuomba idhini ya kuingia majumbani katika nyakati za kupumzika, si unyanyasaji wa kijinsia. Bali ni mafundisho ya Allah yanayo linda familia na kuzilea katika hali ya usafi na heshima ya kudumu.
MAZINGATIO:
Kushikamana na tabia za kiislamu ni njia ya wokovu
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi