Hakuna kulazimisha katika Dini, kwa sababu

Hakuna kulazimisha katika Dini, kwa sababu

Hakuna kulazimisha katika Dini, kwa sababu

19 15

Hakuna kulazimisha katika Dini, kwa sababu imani ni jambo huru kwa mwenye kubainikiwa na uwongofu kutokana na upotofu.

Mwenye kuchagua imani ya kumuamini Allah, bila ya shaka ameshika Kamba Madhubuti isiyo katika.

MAZINGATIO:Uhuru wa kuamini, ndiyo msingi wa kumuamini Allah bila kulazimishwaKufuata Dini ni hiyari ya moyo.

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki