Na kama Allah asingewakinga watu baadhi yao kwa wengine,
Basi waliwashinda kwa idhini ya Allah na Daudi akamuua Jaluti, na Allah akampa (Daudi) ufalme na utume na akamfundisha aliyoyataka. Na kama Allah asingewakinga watu baadhi yao kwa wengine, bila shaka ardhi ingeliharibika, lakini Allah ni Mwenye hisani kubwa mno kwa walimwengu
1349
Video zenye uhusiano
Tazama video nyingine kuhusu mada hiyo hiyo