Ewe Mtume, fikisha uliyotere-mshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi."
Ewe Mtume, fikisha uliyotere-mshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi. Na usipofanya (hivyo) basi (utakuwa) hukufikisha ujumbe wake. Na Allah atakulinda dhidi ya watu. Hakika, Allah hawaongozi (njia ya sawa) watu makafiri
Sema: Enyi Watu wa Kitabu, hamna lolote (la maana) mpaka muisimamishe Taurati na Injili na yote mliyoteremshiwa kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Na hakika ulioteremshiwa kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Na kwa yakini kabisa, yale uliyoteremshiwa na Mola wako Mlezi yatawazidishia wengi wao uasi na ukafiri. Basi usiwasikitikie watu makafiri
606
Video zenye uhusiano
Tazama video nyingine kuhusu mada hiyo hiyo