Na (ni haramu kwenu) wanawake walio katika ndoa isipokuwa.."
Na (ni haramu kwenu) wanawake walio katika ndoa isipokuwa wale mliowamiliki kwa mikono yenu ya kuume , (hili) Allah ameandika kwenu, na mmehalalishiwa (wanawake) wasiokuwa hawa mtake kwa mali zenu, kujilinda na kutofanya zinaa. Na wale (wake) mliokaa nao faragha (baada ya ndoa) kati ya hao, wapeni mahari yao ni lazima. Na si vibaya kwenu kwa mliyoridhiana katika yale yaliyotajwa baada ya kutimiza wajibu, hakika Allah ni mjuzi mwenye hekima
918
Video zenye uhusiano
Tazama video nyingine kuhusu mada hiyo hiyo