Je, kwani hatukuifanya ardhi (kama) tandiko?."

Je, kwani hatukuifanya ardhi (kama) tandiko?."

Je, kwani hatukuifanya ardhi (kama) tandiko?

Na milima kuwa (kama) vigingi?

Na Tukakuumbeni kwa jozi; (wanaume na wanawake)?

Na tukafanya kulala kwenu ni mapumziko?

Na tukaufanya usiku (ni kama) nguo (ya kukufunikeni)?

Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia [kutafuta] maisha?

13
Video Translations
Kupakua
  • Hd Version ( Google Drive )
Viambatanisho

Shiriki