Maana ya Uwepo katika Nuru ya Qurani

Uhai wako haupo bure bure tu, kila hatua unayo pitia ina malengo maalumu.
Sisi wote tupo katika safari ya kumuelekea Muumbaji, na tunatakiwa kufanya matendo mema kwa kutambua kuwa kurejea kwake ndiyo lengo letu kuu la kuliendea

Maana ya Uwepo katika Nuru ya Qurani

Allah ametuumba kwa ajili ya kumuabudu Yeye tu. Naye ni Mkwasi, mwenye kujitosheleza na chochote tulicho nacho.
Lengo la uhai wetu si riziki au chakula, bali ni kujikurubisha kwa Muumbaji, kumuabudu Yeye ipasavyo.

Aya